Joel 3:2

2 anitayakusanya mataifa yote na kuyaleta
katika Bonde la Yehoshafati
Yehoshafati maana yake Bwana huhukumu.

Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao
kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli,
kwa kuwa waliwatawanya watu wangu
miongoni mwa mataifa
na kuigawa nchi yangu.
Copyright information for SwhNEN